News

Katika kesi hiyo, Majogo aliyewakilishwa na Wakili Peter Madeleka, amedai kuwa kampuni hiyo ilikiuka masharti ya msingi ya ...
Kwa tangazo hilo la Rais, sasa kima cha chini cha mshahara kitakuwa Sh500,000 kutoka Sh370,000 iliyokuwa ikilipwa kabla ya ...
Bomba hilo, lililowekwa juu ya paa la kanisa, sasa linatarajiwa kuanza kutoa moshi mweusi mara mbili kwa siku kuanzia kesho ...
Pamoja na bajeti hiyo, wizara hiyo imepanga kukusanya maduhuli ya Sh1.4 trilioni kwa mwaka 2025/26 ikilinganishwa na Sh1.16 ...
Miongoni mwa wanachama hao waliopokewa yumo Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Mwanza, Peter Mtyoko pamoja na wajumbe wa chama ...
Dodoma. Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka, amezitaka taasisi za Serikali na binafsi kuwaheshimu wakaguzi wa ndani na ...
Morogoro. Profesa mbobevu wa kemia kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), Ndaki ya Sayansi Asili na Tumizi, Faith ...
Ameitaka ETDCO kuendelea kufanya kazi kwa ufanisi na kusema kuwa wanafursa ya kupewa mradi mwingine kwa kuwa wamefanya kazi ...
Maabara Kuu ya Hospitali ya Muhimbili imetunukiwa cheti cha ithibati ya ubora, kitakachodumu kwa miaka mingine mitano.
Geita. Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Geita, imemhukumu Majid Badru, Mtemi wa Sungusungu, kifungo cha miaka minane jela baada ...
Katika mchezo wa mzunguko wa kwanza uliofanyika kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma Simba ilichomoza na ushindi wa bao 1 ...
Senkoro amesema lugha ya kufundishia ina nafasi katika kutengeneza msingi wa wanataaluma kuanzia ngazi za awali katika elimu.